Mwishoni mwa moduli hii mwanafunzi atakuwa na uwezo wa:
1.Kutumia herufi za Kiswahili katika maandishi na mazungumzo.
2. Kutumia msamiati wa Kiswahili katika maandishi na mazungumzo kimsingi.
3. Kutumia aina za maneno ya lugha ya kiswahli kimazungumzo na kimaandishi.
- Teacher: Vincent Bucyedusenge